Nipe maelezo kidogo mkuu..naona umeniachia namba tu..najua natakiwa kupiga ila ungeweka nyama kidogo. Je, wewe ni daktari? au unajua sehemu ambayo tunaweza pata tiba ya hilo tatizo? au ni mtaalamu wa tiba asilia?..Please maelezo kidogo. Thanks
Habari wataalamu wote humu ndani.
Mke wangu anasumbuliwa sana na tatizo tajwa hapo juu. Moyo wake umejaa maji ambayo kwa mara ya kwanza yalitolewa kwa mpira na yalikuwa mengi sana ila baada ya wiki yakaonekana kurudi ingawa si katika hali ile ya mwanzo, mara hii yakiwa ni kiasi kidogo ila si...
Nadhani cha msingi hapa ni wanawake kutotuma picha zao za utupu kwa hao wanaojidai kuwa wanawapenda....tatizo katika hili ni kamba wanawake ni wadhaifu sana haswa wakipata mtu ambae ana kile anachokitaka/anachokipenda.
Mwambie mwanaume mwanzo kabisa wakati anakufuatili/anakutongoza your likes...
Wewe ndo uko brain washed mkuu, hii kitu ipo na ina exist na nina vivid examples nyingi sana katika maeneo mbalimbali ninayoishi, japo nakubali wapo wazazi wanayoitumia vibaya ila hicho si kigezo cha kusema haipo
mkuu BAK si magari tu, kuna dawa pia na sumu aina mbalimbali, moto, majiko ya gesi, mashimo ya vyoo n.k.. Mtoto wa rafiki yangu alinusurika kifo baada ya kunywa dawa iliyoacha wazi na mama yake. Umakini katika kila kitu kwa kweli unahitajika juu ya malezi ya mtoto
Yap kuna ka ukweli fulani. Nilipata kusoma sehemu kuwa mwanamke kukuvulia pichu na kukupa papuchi ni hatua yake ya mwisho kukuonyesha upendo wake (ukiachilia mbali machangudoa na wanaofanya hivyo kwa ajili ya maslahi fulani).
Wanaume wanaoendeshwa na tamaa wanaweza kwenda extra miles ili...
At least hujaongopa hapo kwenye umri maana hii ni thread ya 2012 na ulisema una 42 na sasa ni 44...uthibitisho tosha kuwa ni wewe muhusika mkuu. Be serious with life brother..kwa umri wako si wakufanya vituko kama hivyo...
Nimependa personality yako though huwa siamini sana kwa watu kujielezea wenyewe walivyo ila kama ni real upo hivyo hongera sana na endelea kujitunza.
Epuka mabazazi..social medias zina mambo mengi sana na asilimia kubwa ya watumiaji ni fake na wanatumia fake IDs.. Ogopa watu wanaojifanya wema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.