bwana mkubwa au unakopa sana halafu lunasahau kulipa ukifyatuliwa unalalamika. Lakini niwajulishe Watanzania pia kuwa kuna wakati Makampuni haya ya simu ukipiga simu utajikuta kuna kibwagizo cha wimbo wa kampuni hadi pale utakapopokelewa simu yako. Katika wakati huu unakatwa vijicent. Please...
kwa maoni yangu siyo tu kununua bidhaa za kichina lakini watz tuliowengi elimu ya ujasiriamali hatunayo wala hatutaki kukiri hilo na kuondoa kasoro hizo mfano Wanawake wengi japo si wote wanachukua mikopo midogomidogo hiyo bila kuwa na mipango iliyoandaliwa kwa kina na ambayo imezingatia kiwango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.