Kutokana maendeleo ya sayansi na teknolojia duniani,matumizi ya kadi za malipo mfano WESTERN UNION,VISA,TEMBO CARD etc matumiz yake yameongezeka hasa kulingana na kupanuka kwa soko la kimataifa.
Kwa Watanzania walio wengi hili ni suala geni hasa ukizingatia hata matumiz ya benki tuko bado...
Kampuni/biashara yao iko UK wanajihusisha na uuzaji wa eletronic products.
Hii ndio WEBSITE YAO au HII HAPA
Facebook anatumia jina la AMANDA EMILY
Wanatumia malipo ya credit card hasa western union.
Wamenipa streat adreass,email namna ya kupata ofisi zao.
Hata ww waweza bonga nae tu...
kilaza=mwanafunz wa mwisho kitaaluma
Toboa ozone=kukesha ucku kucha ukisoma
kukamia=kusomea mtihani yani paper kesho we unasoma Leo
nyari=wali
keki=ugali
kisha nuka=muda wa mlo umefika
T.O=Table one (mtu wa kwanza kuingia bwaloni Kyla mlo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.