Strategies za CDM nazikubali!!! Hapa CDM kuna kitu wanataka kufanya,bila shaka wameamua kumpa changamoto J.K. na kujua msimamo wake kabla ya kuamsha nguvu ya umma.Viva CDM songeni mbele.PAMOJA TUNAJENGA NCHI.
NAPE amezingatia ushauri aliokuwa anapewa hapa kwamba akitaka kupona ndani ya CCM akane kauli zake na aachane na kuwasakama akina ENL la sivyo itakula kwake
MR.DASH 1asante sana kwa mawazo yako. Ni kweli nchi ilipofikia sasa ni pabaya zaidi.Kwa mfumo uliopo sina hakika kama ukombozi unaweza kupatikana kupitia sanduku la kura.
Sisi kama umma Tunahitaji kufanya maamuzi magumu1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.