Ninaandika kwa masikitiko makubwa kama Mlutheri jinsi miradi ya ELCT inavyofanya vibaya na mingine kufa kabisa.
Hospitali ya Selian iliyojengwa kwa pesa za wafadhili na mkopo wa CRDB ni hospitali nzuri yenye ubora na iliyokua ikihudumia hadi mikoa mingine,haifanyi vizuri na kushindwa kulipa...
Well said,kuna kampuni Arusha wanaitwa DAREF ofisi yao ipo Ngulelo,hawa wanatafuta wasichana na ni wadada wa mjini wewe unadhani wametoka kijijini,unawalipa laki 40 mshahara wa dada wao wanampa 90 kila mwezi na hapo umeshalipia elfu 50 ya ofisi pia.Dada unakuta hana mafunzo yoyote unaanza from...
Ndege za Tz hazina uhakika kabisa,kuna siku nilikua nasafiri na Precision ikaahirishwa mara 2,kutoka saa 10 mpaka sa a 3,saa 3 hadi saa 5.Huwa najiulizaga sana wanaopanda from KIA kufanya connection kwenda nchi nyingine inakuwaje?
Yaani umeona kama mimi,majengo yote yale for what?si yangejengwa hata matatu tu?Kuna maeneo ya Tanzania hakuna maji safi na salama,hospitali wala shule.
Hii report haijamtaja Mzunngu mmoja yupo Arusha anafanya kazi UN-MICT na alianza toka UN-ICTR anaitwa Tom Adami yupo kitengo cha Archives,Anajulikana hadi na mapolisi wa Arusha kwa kuwaharibu vijana wadogo.Kwakua ana diplomatic protection huwa hafanywi kitu,hadi mke wake mkenya aliamua...
Nimekuwa nikimsikiliza Mganga Mkuu wa Serikali Dr. Nagu pindi anavyotoa taarifa haswa ya ugonjwa huu wa Marburg.
Namuona hajiamini na anashindwa kuwa detailed na composed. Ushauri wangu kwake ajiongeze na kujua content mapema as anaonekana viatu alivyovaa ni vikubwa.
Leo Waziri Ummy imebidi...
Zainab karudishwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Pangani ambapo pia ndio alipoanzia wadhifa huo,ni mke wa Waziri Jumaa Aweso ambae pia ni Mbunge wa Pangani,hii haitakua na conflict of interest kiutendaji?
Na Victoria Mwanziva kutoka idara ya uhamasishaji chipukizi UVCCM makao makuu kwenda kua Mkuu wa Wilaya naona ni demotion kubwa,alikua anapata exposure sana but hii naona ni kutupwa benchi na Unaibu UVCCM akakosa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.