Serikali ikamate haraka passport ya Rene Meza imzuie asiondoke nchini mpaka wezi wa bilioni 675 hizi za Watanzania maskini wanaonunua vocha za shilingi 500 watakapokamatwa na kushitakiwa mahakamani
Sadoliki you seem to be a chicken head. Many big scandals are hidden for many years because of corruption, fear and conspiracies until they are uncovered years later. For example, the IPTL agreement was signed in 1994 but it was only in 2014/15 (20 years later) that details about this scandal...
Huyu mwanasheria wa Vodacom Tanzania, WALARICK NITTU, aliyeandika barua hii bado yupo? Polisi na TAKUKURU wamhoji kwani atakuwa ni shahidi muhimu kwenye uchunguzi wa wizi huu mkubwa uliofichika tangu miaka 5 iliyopita.
Independent Thinkers ni watu wachache sana. Watanzania wengi ni wavivu wa kuamini, wanasubiri wasome vitu kwenye vyombo vya habari, eg makala za Absalom Kibanda wa Tanzania Daima zinazofadhiliwa na Edward Lowassa na Rostam Aziz dhidi ya Samuel Sitta, au waone post humu JF basi na wao kuunga tela...
Samuel Sitta na Harisson Mwakyembe nao wanafaa sana kuwa PM, Pinda ni hovyo kashindwa kazi. Ila tatizo linabaki palepale, Kikwete hawezi kuwa na Waziri Mkuu jembe kwani yeye mwenyewe ni kilaza.
Kwa rushwa ilivyokithiti polisi na mahakamani, huyo mhindi sidhani kama atapandishwa kizimbani hiyo kesho. Na hata akishtakiwa, basi ujue hiyo kesi itaisha yenyewe kwa serikali kupeleka mashitaka mabovu kwa makusudi. Nchi hii uibe laki tatu au milioni 3 utafungwa jela, lakini ukiiba mabilioni...
Kina Shyrose Bhanji, January Makamba na vijana wote mwenye uchungu na uzalendo wa nchi hii. Tokeni CCM, hamieni CHADEMA mlete maendeleo ya kweli nchini. Alama za nyakati zimeshaonesha kuwa hata waibe kura vipi, CCM hawashindi uchaguzi wa 2015.
JK ni janga la taifa. Alikimbilia Urais tangu 1995 tukadhani ana uchungu na taifa hili na kutaka kuleta maendeleo ya kweli. Kumbe alikuwa na ajenda binafsi ya personal prestige tu na kupata nafasi ya kusafiri kila siku kwenda Marekani na nchi nyingine kwa kutumia kodi za wavuja jasho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.