Mukoba..'' mwalimu anaweza kufanya kazi ya aina yoyote ile ikiwemo kushiriki katika zoezi la sensa wakati akiwa kwenye mgomo.'' anasema siwezi kumzuia mwl. kama anakang'ome ka kwake asikakamue. mfano hii part time ya kuhesabu watu.
Sasa hivi Mukoba yuko ITV anazungumzia kuhusu mgomo wa walimu na anasema ni halali. Mwl. atakayeenda kazini in msaliti kama wasaliti wengine waliowahi kutokea katka mapambano ya ukombozi
No, no, no! Zitto DON'T think of becoming president of this country it is too early for you to hope for that, better think on solving problems of your people in your constituency.
Ndugu wapendwa, nimelazimika kuuliza swali hili kwa walimu wa SIMANJIRO baada ya kusikia minong'ono mingi sana ili nisikie walimu wanasemaje. Kilio cha walimu wa wilaya ya Simanjiro ambacho kimekuwa kikipazwa ni kwamba. 1. Katibu wa CWT- Simanjiro hafanyi vikao vya ngazi yeyote...
Statement ya Mh.Lisu ilikuwa hivi, '' if you have done at your very best and you have failed why don't you resign?'' Je kauli hii ni mbaya? Au kwa kuwa ni ya kiingereza. Na ukumbuke PM mwenyewe alitumia maneno mengi kwa kiingereza kujibu hoja hii. Nafikiri PM hakuwa na cha kujieleza akaona ili...
Walimu hawajapanga kugoma tar. 05. July. ila hiyo tarehe ndo mwisho wa kusubiri kama serikari in nia ya kukaa meza ya mazungumzo na CWT. Kama hii tarehe itapita, walimu watapitishiwa karatasi kusaini kuamua wanataka kugoma au hawataki kugoma. Baada ya hapo CWT itatoa notice ya kugoma.
Aaaaaaaaa, huyu mama kweli ni kichefuchefu yaani alivyo na sura yake ndo hata katika maamuzi yake. Amekuwa dikteta mno. Bunge linapunguza uhuru wake na wabunge wanashindwa kujadili hoja mbalimbali kwa uhuru kisingizio cha kanuni kutumiwa vibaya. Mfano Mh. Mnyika ameomba mwongozo...
Wapendwa wote wapenda mageuzi nchini Tanzania, ITV itarusha live matangazo ya mkutano wa CHADEMA siku ya Jumamosi jijini Dar es Salaam kuanzia majira ya saa kumi jioni. ITV tayari wameshaanza kuutangaza mkutano huo.
Source: ITV
Nimeipenda sana hii analysis na ulichokisema ndicho kinachotakiwa kifanyike kuanzia sasa. Viongozi wa CHADEMA waweke watu maalum katka kila miji, manispaa, halmashauri, vitongoji na vijiji kukusanya taarifa za wanachama wa CDM. Wateule watakaoteuliwa kuendesha zoezi hili la ukusanyaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.