Haya majina nomaa' Dr Kisenge kcmc hospital 2003-2008 , mama mamboro sombetini Arusha, kali zaidi ni ule uwanja mkubwa wa mpira wa migu kule Japani unaoitwa KUMAMOTO.
Pole sana man' mata ya kula ya taa ya gari au mazito ya umeme? Naona ana asili tu ya umatonya kwani aliwahi kusema safari zake zina tuwezesha kuishi kwani anapata misaada lukuki, kwa mantiki hiyo na rasilimali tulizo nazo inaonesha tunawezakujimudu zikisimamiwa ipasavyo ila shortcut na uzuzu...
Don wor' aka usijali ndio unaanza kukua kijana siku njingine kabla hujaandika huku iandike kwenye karatasi kisha ujidai kama umendikiwa uisome kwa makini uielewe uikosoe kisha ukishaona mapungufu yake ndio uipost jf.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.