Dah pole ndugu. Na me ni mhanga mwenzio. Navuka mwaka wa pili Bila ajira. Sasa nimekata tamaa hata kuapply. Full utata ila nimejaribu kuutatua sasa nafundisha na angalau nmekua mwalimu tegemeo kwenye shule moja ya msingi (eng med) japo maslahi ni madogo nimetokea kuipenda kazi ya...
nimesoma procurement...sasa nafanya kazi kama mwalimu shule moja ya msingi English medium... nakushauri usingoje hadi mambo yakiwa magumu, afanye kazi yoyote tu.
Wagavi tunaofundisha sasa tupo wengi na tuna mpango wa kuchukua PGDE.
HATUJAKATA TAMAA ILA NDO HVO MFUMO UMETUKATAA. HUKU...
good replies wakuu.. kuna uzi mwingine mtu kauliza kuhusu gharama za postgraduate... enewei, me mwenyewe I kind of want to change my profession niwe na tudigrii twingitwingi..
haya anaejua twendeeee
salaam mkuu... samahani lakini, unahitaji mtu wa kumconsign kama wakala flani wako hvi au unahtaji biznes patna? thought there will be sharing of profit and loss kwa
pasent flani... BTW, am ready and I've been looking for such opportunities...
upphhh,nlificha details kwa 7bu maalum wandugu,ningefunguka zaid pm. ila am the boss,na nimefanya nnalotakiwa kufanya and evrthng z ok nw.
duh kuna watu mpo fasta kama mmezamia(tyta,kisima,babaV)!!
Hamjambo? Nipo Morogoro
sasa,na shahada yangu ya
Ugavi na Manunuzi toka TIA
(2012). Tayari kufanya kazi
kwa kujitolea "bila utata" ili
kumsaidia mtoa kazi na mimi mwenyewe. Nzuri zaidi ni
itayoniruhusu kuwa karibu na
jamii,na isinibane sana(maana
na me nna yangu baada ya
kazi)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.