Hapa issue ya mjadala nilivyouelewa sio "shall" na "may" Bali ni ELIGIBLE! na Ndio maana Shall ya fixed five years hakuna aliyebisha as a result hata Spika aliuchuna kwenye ile saga maana five years zilikuwa bado. Sasa amejaa kwenye 18 penati box. Eligibility iko within discretion ya Muongezaji...
Ni kweli "shall" ni lazima upo sahihi kabisa. ILA WALAUMU WALIOWEKA/ONGEZEA NENO "ELIGIBILITY" HAO NDIO WALIHARIBU KILA KITU. So Ngabu yupo sahihi na Rais hajakosea. Eligibility maana yake if and only if environment favours you. Bahati mbaya katiba haijataja strong binding factors, ni hisia tu...
Nchi ya Wazandiki na wanafiki. Magufuli angekataa ungesikia anaunga mkono Mgomo wa kenya ili rafiki yake Raila ashinde. Amekubali Chadema hawaamini kama Amekubali.
Hapa nami nakuunga mkono. TLS=CWT=TALGWU=TUCTA nakadharika. Kwani TLS ni wasomi kuliko CRB au ERB, Kiki za kijinga tumewapa TLS wanaobebwa na Collusion style. Majaji wenyewe waliopo kwa sasa ndio wale Lissu aliwatukana, kwanini wasibabaike wakimuona
Ni sahihi Hata Sofia aliitetea kweli, Sasa amesomeshwa kwa sababu alikuwa hataki kuisoma. Ngoja Msomali wako huyu naye tumsomeshe soon maana kwanza katujazia wahamiaji haramu
Nyie CHADEMA Mpaka leo hamjamjibu Tuntemeke na Samsoni Mwigamba juu ya mabadiliko ya kimya kimya ya Katiba yenu mnaanza kuichambua ya CCM. Mkiambiwa Virobeerii vinanyemvua na Uraibu mnawaka. Shughulikeni yenu kwanza tupate tume huru
:A S 103:Na tete hana tofauti na kina Saidi Mkumba ,, au Makongoro Mahanga ---:mod:Maana wamekatwa--- SAWA SAWA NA YEYE,,Tofauri ni kwamba Binti yake amekatwa Viti maalum. TEHE TEHE.kukatwa ni sheeeedaaaaa:rain:
Na tete hana tofauti na kina Saidi Mkumba ,, au Makongoro Mahanga ---Maana wamekatwa--- SAWA SAWA NA YEYE,,Tofauri ni kwamba Binti yake amekatwa Viti maalum. TEHE TEHE.kukatwa ni sheeeedAAAAA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.