Serikali iliyopinduliwa inadai hayakuwa mapinduzi ya wazanzibar Bali mavamizi kutoka nje na @yerico Nyerere makala yake inaonesha hivyo,ni wageni watupu ALIOWATAJA walioongoza mapinduzi,na ili.mapinduzo yawe na uhalali yanapaswa kufanywa na wananchi wenyewe.
Mafuta yamepanda sana Kwa hiyo Putin kashusha kidogo tu lakini juu ya bei kabla ya vikwazo,hesabu zinaonesha mauzo yamepungua kidogobila faida imepanda.
wamasai wanatumika kuweka mifugo ya vigogo tu vigogo wan ngo'mbe kibao zinakul nafasi za hifadhi,ngo'mbe laki 8 huku kati ya hiyo no 3% tu ndio za wamasai.
Kama Sheria inatambua ushindani kwenye vyama ili kubeba bendera ya chama kwenye kugombea uspika na wagombea wasio na vyama je?wataanza kutambuliwa wapi?
CIA imeangusha viongozi wengi tu waadilifu na wenye kupendwa na watu wao,mfano ni Nkurumah mwenyewe, Lumumba,Mossadeq Iran , KIONGOZI mashuhuri wa Bukina Faso na Wengine wengi tu ,kuna kitu waloficha hao CIA lakini Nkurumah alikisema nacho Nyerere alikuwa asset wa CIA,na amewafanyia kazi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.