kuna tiba ya asili kwa muda mfupi kukata tumbo likikuzidia, chukua maji ya moto kiasi then changanya na limao baada ya hapo ukiona tumbo lako linazidi kuuma nenda kamwone daktari.
Kwa wale ambao tuna nywele asilia a.k.a natural hair, tayari tunafahamu changamoto kadhaa tunazokumbana nazo. Kwa wale mnaofikiria kuanza kuwa na nywele asilia, karibuni sana tuendelee kujuzana namna ya kutunza nywele zetu kama tulivyopewa na Mungu
Katika mada ya leo,nitakwenda kuzungumzia vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.