Nipo Dar maeneo ya Kimara..nataka kufungua biashara ya duka la jumla,kwa vitu vya kawaida kama unga sukar mafuta n.k.....kwa wale wenye uzoefu na biashara hii ni tahadhari gani za kuchukua? kwa anayejua anawwza kunipa breakdown ya hii kitu?
Habari za hapa wakuu,
Nilishut down laptop yangu aina ya lenovo g500 nilipokuja kujaribu kuiwasha inawaka poa kila kitu kinafanya kazi hata ukiweka cd inazunguka vizuri lakin screen haionyeshi chochote (total black), nimejaribu soln hizi bila mafanikio, nimebadili memory na pia nimetoa bettry...
habari za jioni waungwana..nimenunua pc mpya aina ya TOSHIBA..ila hailkubali kila nikijaribu kuweka window; inaandika NO BOOTABLE DEVICE--PLEASE RESTART SYSTEM,pia nimewapa baadhi ya watalam wameshindwa..mwenye idea yeyote naomba mawazo yake
nawasalimu wakuu....ninamtaji wangu wa milioni tano nataka nifanye biashara,,mimi ni mwanafunzi najiunga na ifm naishi kimara nataka walau nifanye biashara ya kuniwezesha hela ndogo ndogo za matumizi yangu ya kila siku,,naombeni ushauri wenu ni biashara gani ambayo itanifaa na rahisi kumanage...
nashukuru sana mkuu kwa maneno yako ya busara,mimi nimepangwa computer science ifm lakini naipenda sana banking and finance ndo maana nikauliza ili kama itawezekana nikabadilishe...napenda kuja kufany kazi ofisini sana sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.