"BMW" yawezekana kuwa ndolegacy ya ------ mwenzangu'; angalia haya, mama yuko na WAMA, mtoto, nasikia sina uhakika ni mbia wa Lake Oil and campanies, baba ndo mfanya biashara pale ambapo mzee nyerere alipaita patakatifu! Legacy hapa ni maslahi kwanza kwa "Baba, Mama na Watoto" (BMW)
'Baada ya uumbaji wote, mungu alifikiri sana na akasema "tuumbe mtu kwa mfano wetu" Hapa ndipo Adamu alipoumbwa! Hata hivyo Adamu alionekana kuwa na huzuni na mungu akawapitisha wanyama wote na vyote katika dunia na Adam akavipa majina lakini bado hakuonekana kuchangamka n ndipo mungu akampa...
Ni aibu kubwa chama kikongwe kama CCM kuwa na katibu mwenezi anayefikiri kwa namna hii; Kweli katibu mwenezi wa CCM analeta hadithi za kombolela? CCM kwishinee!
Mkuu fikra za kujua angalau kuwa rasili mali za africa ni kwa ajili ya waafrica ni jambo zuri; siana uhakika sana na mgawanyo wa hizo mali kwa Wazimbabwe but some time western medias wana tia chumvi sana katika haya mabaya ya Mugabe. Kwetu wachina, Ulaya na Marekani ndo wanufaika, sijui hii ndo...
"Africa has no ambition to control the resources of Britain or any Western nation.
We are entirely disinterested in their affairs.
History shows that we have never expressed any hostilities against them. Instead, we have been victims of unprovoked aggressions and interference in our...
Mkuu ni kweli kabisa yote usemayo, mtu yeyote hasa wale waliosoma ndanda secondari miaka hiyo watakueleza utamu wa maji ya ndanda. Nawashangaa sana watu wa mtwara kama wanakuwa mstari wa mbele kuipinga product yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.