"Katika mihimili 3 kuna mmoja umezama zaidi ya mingineee" Ndio huu unamsulubisha maxence, Na utazidii kutubana sana huu muhimili uliozama zaidi ya mingine
Ni kweliii hata Mimi nilishangaaa kwa hasira nilichange fasta station kutoka radio one na kwenda Radio free. Sasa nimeshindwaa kuwaelewa wanachoficha ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.