Kuna tractor nne zinauzwa; 1.New holland 80, vatra kubwa,mantrack, na nyingine moja nimesahau jina lake ila nayo ni kubwa.Hizo tractor zilikua zinafanya kazi ya barabara.kama uko interested nicheki kwa 0762144142
kwa wale wenye ujuzi na photocopy machine!
nina photocopy ambayo ilikua inafanya kazi vizuri aina canon 2420 lakini ghafla imekua inachelewa sana kuwaka pale ninapo iwasha kwa mara ya kwanza.Naomba msaada kwa anaejua inaweza kua nn kimetokea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.