Huna hadhi y kufanya mdahalo na Makonda, upo poor sana!! Makonda hadhi yake ni ya kuongea na akina Kinana, Nape, Piga box tu chief, usitafute umaarufu, huwezi hata kuosha viatu vya Makonda
Huo upande ambao upo hakuna hata anastahili kufunga viatu vya JK or JPM, these guys are the LEGENDS!! Ni kichaa pekee anaweza fananisha CVs za akina JK kwenye nchi hii na waganga njaa akina Lema, Mbowe, Sugu, Msigwa, Lissu, Sugu na WAHUNI wa aina hiyo. Bora CCM waongoze milele na siyo kuwapa...
Kwa matusi mliyomshushia kwenye ishu ya bandari ana haki now ya kumteua yeyote anayefeel ni sawa kwake, mlimkosea heshima sanaaaa, Soon Sabaya naye anarudi maana siasa za ustaarabu alizotaka Hangaya wahuni wa upande ule hawaziwezi, THEY THRIVE TO CHAOS
TZ kungekuwa na Ugumu kama unavyopotray hapa hao akina Mbowe, Lissu, Lema, na wengineo wangekimbilia kurudi hapa kama mifugo baada tu ja Jiwe kufariki? Si wangebaki tu huko Dubai, Ubelgiji, Canada na kwingineko mnakowaaminisha wajinga kwamba ni kuzuri sana? Walirudi na kusifia sana hapa home...
Weka ushahidi hapa wizi wa akina January, Nape nk! Au ndiyo zile kele za Lowasa, Rostam mafisadi and baadaye wakakumbatiwa na huyo mtu aliyewaita mafisadi! Report ya CAG kwa kiasi kikubwa inagusa miaka ya giza 2015-2021
Na wewe unaamini huo ujinga? Hao watu uliowataja wakiamua kukutupia coordinates matango upambane nazo hawawezi? MAMA YUPO SEHEMU SALAMA ANAENDELEA NA MFUNGO, NI VILE TU WATU WAMEMMISS WANATOA HAYA MANENO YOTE, People wanatamani vile vijembe vyake, siyo mbaya pia watu kummiss Rais wao
Haya ni mapuuzi yanayoamini kulala na analog mafaili kitandani ndiyo UCHAPAKAZI mkuu, with all technology and kila kitu tulichonacho sasa, AKINA WANAHARAKATI HURU
Samia hana huo upuuzi! Ni mweupeee hana hata tone la mauchafu yenu! Na kwenye utawala wake hatazalisha wakuu wa mikoa/wilaya matajiri kama akina Makonda, Sabaya, Mnyeti!! Wezi now wanashughulikiwa kwa jicho la Umma, no kufichaficha or kumtimua na kumdhihaki CAG
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.