Hii mkuu ndo kwanza naiskia kwako
Ninachojua hawa wanyama wanaona mengine ambayo binadamu hatuyaoni, wakati mwingine hubweka wakiona wachawi n.k
hili la kulia wakati wa adhana sijawahi lisikia
yeye pia alinipm akaniambia kafa kaoza kwako,yaani kama yeye angekuwa gari basi wewe ni matairi,hajiwezi bila ya wewe kutembea hawezi, zaidi amenieleza umrembo lakini hujikwezi kama ni mbingu wewe ni mbaramwezi
Mkuu Baba Vladmir nina tatizo la kumeza chakula
sina raha ya kula kwa sasa chakula kidogo inaweza kunichukua hata lisaa lizima kukimaliza kwani yabid nitafune sana na nile taratibu
hata maji ya kunywa nakunywa kwa shida kuna sehemu kwenye koo nikila chochote nahisi kinaenda kukwama
Mkuu hii experience yako ungetuhadithia japo paragraph 10 ingekuwa stori tamu sana
hizi stori za kuchungulia watu wazima huwa hazichoshi
kama ni mechi huwa kama ajax na bayern
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.