Ndugu zangu wana JF hii mada ni kali sana na natamani tuelimishane vlizuri kabisa kwa manufaa ya watanzania wote. haya mambo ni ya kweli kabisa. mimi binafsi niliwahi kusoma kitabu kimoja kimeandlikwa "psych power can make you rich". nilikuta mfano mmoja katika hicho kitabu ambao ulinifurahisha...
Ndugu zangu wana JF naomba ushauri,
Nahitaji kununua tairi mpya za gari yangu aina ya Escudo; size (215/75R15) kuna ambazo zimeishaa lakini kwa kweli hazikunitendea haki kabisa yaani hizi sio tairi ni uchafu (Ling Long).
Sina uwezo wa kununua hizi brand za bei kubwa kwa sasa ila naomba kujua...
Wadau, naomba msaada wa kupata elimu zaidi juu ya utengenezaji wa funza kama chakula cha kuku. na pia naomba kufahamu kama hawa funza kwa hapa Tanzania wanauzwa, basi naomba kufahamu ni wapi nawweza kuwapata.
Anatakiwa mwalimu wa kingereza kwenye tawi la chuo chetu kipya hapa arusha. Awe mwenye uwezo wa kufundisha (spoken english) awe mwenye kujituma na mzoefu. Pia awe na uwezo wa kufanya kazi kwenye mazingira ya aina zote. Mshahara mnono utatolewa.
Wote mnakaribishwa. Chuo kipo ngulelo (njia ya...
Tafadhali nisaidieni naandika andiko la kiswahili lenye maneno ya kisaikolojia natafuta maneno ya kiswahili yanayoweza kuwasilisha maneno haya "Conscious mind" na "Subconscious mind" tafadhali wataalamu wa saikolojia Tanzania na popote nisaidieni!
Kampuni ya amazing Star inawatangazia nafasi za kazi vijana wa kike na wa kiume. karibu kwenye Promosheni kubwa ya uuzaji wa vitabu katika mikoa ya D'salaam, Arusha na Moshi itakayoanza mwezi huu wa pili. Usaili utafanyika tar 31/1/2015 kwa D'salaam na taehe 15/2/2015 kwa upande wa arusha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.