Mheshimiwa Makonda alidhibiti matumizi ya dawa za kulevya, alisaidia kuzuia mashoga kutokujiachia (alidhibiti ushoga), alisaidia watoto kupata bima za afya, alisaidia walimu kuthaminiwa kwa kufuta nauli za daldala kwa walimu na alihakikisha uimarikaji wa ustawi wa jamii kwa kuwashughulikia...
Zile kura za urais kuna kiwango kikifikia chama huwa kinapata ruzuku. Kwahiyo, ni muhimu kuweka mgombea urais labda iko kiwango kinaweza kufika na chama kikipata pesa ya kujiendesha. Ila sidhani kama wanaogombea wana nia nyingine zaidi ya hii, mana kuhusu kushinda sio kweli, kwasababu kuna...
Naomba kujua nifanyaje, flash disk yangu nikiingiza kwenye PC haioneshi chochote (Yaani kama sijaweka kitu). Au ndio ya kutupa tena ishafikia mwisho wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.