hata katika mazishi ya kanumba polisi wamediriki kuwapiga watu.nimeshuhudia mama mmoja kupigwa eti wanazuia fujo.je hakuna njia nyingine ya kuzuia fujo zaidi ya kupiga na kupiga risasi? Polisi vilaza!
na sio kuiba tu laptops.bali wanatoa kila kitu ndani ya gari.power window,taa,sidemirrow n.k.maeneo ya sinza,kijitonyama wezi wameshaniri.tujumuike kuwaua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.