Baada ya kupitia hii post nimegundua tatizo kuwa ni kwanza, uzoefu na elimu ndogo aliyo nayo mkurugenzi wa Bodi ya kahawa ukilinganisha na majukumu yanayomkabili. Cha kujiuliza alipataje nafasi hiyo wakati sera ya Wizara ya Kilimo hata maafisa kilimo wa wilaya sharti wawe na Masters. Anawaogopa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.