Halafu ukienda kufuatilia mafao wafanyakazi hasa wa Nssf wanakukata jicho baya, jicho la ugaidi, kisasi na chuki. Utasema unachukua pesa toka kwenye wallet zao
Habari wadau,
Nipo Arusha ninahitaji Tumbaku kwa ajili ya soko la nje zenye specification zifuatazo: Full leaf with 1 year storage, nicotine 0.7%-1.3%. Not much spice.
Mwenya taarifa au uwezo wa kunisupply tuwasiliane.
Nina house maid mpya kwa muda amekuwa na tabia ya kuumwa kichwa ghafla na kudai kuwa dawa pekee ambayo huwa anapatiwa kwao ni dawa ya mti wa mkuyu. Sasa hapa ndipo ninapotaka kujua kuhusu mti huu wa mkuyu...just curious
We unauliza yote hayo ni sawa na kujisumbua, huku kwetu ni kifalme falme ya kitraditional zaidi, hawafikirii serious attack kwa rais hasa wanawaza attack kama zile za CCM kirumba za kumsukuma rais anguke ndio maana hao wananing'inia kwenye X3 tayari kukimbiza mtu/kibaka, just tazama wote...
Pia kwa kuendelea kukusaidia jaribu kufikiri gharama zifuatazo kwa nyumba ya ghorofa ndogo yenye vyumba vitatu chini kimoja self contained, choo cha public, sebule na jiko halafu ghorofa ya kwanza unakuwa na vyumba viwili vya kulala self contained, TV room, study room, 2 balcony (ya master bed...
1. Hapo haujaweka rangi na finishing, hivyo vipengele vya milioni ishirini ni ndogo sana ingawa kwa macho na matamshi inaonekana kubwa, lets say linapokuja suala la mbao na mirunda tu si chini ya mil 10, bado haujaongelea milango, madirisha nayo inategemea ni ya aina gani alluminium? na yenyewe...
Katika kutafakari tu ni makubaliano yapi au msingi upi unaofanya bajeti za nchi mbalimbali hasa afrika mashariki kusomwa siku moja na takribani kwa muda unaofanana? au kuna sababau za kiuchumi? kisiasa naomba kueleweshwa katika hili kwani kwa siku ya jana nimesikia bajeti ya Tz, Kenya na Uganda...
Hapo kwenye red unazidi kunitia wasiwasi zaidi juu y aintegrity ya chama, na approach ya kuanzisha chama imara cha siasa kwa kuanzia na ndugu bado sikubaliani na wewe hata kidogo, ingekuwa hivi basi TANU, ASP vingejaa koo za waanzilishi wa chama, lets us be a little bit critical katika sensitive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.