Three bedroomed house for rent in Changanyikeni (Nearby University of Dar es salaam) US$650PMBathrooms : 1Bedrooms : 3Location: Changanyikeni (University Area), Dar-es-SalaamLiving (Sitting Room) Area (Sqm): 58Plot Size (Sqm): 1 Acre Asking Price: USD 650contact;+255-713-252423+255-714-947596
Unapozungumzia kujenga karibu na nguzo kubwa za umeme inamaanisha umejenga kwenye Right of Way (RoW) ya eneo la TANESCO, haya maeneo yana ukubwa tofauti kulingana na umeme unaopita hapo, i.e kuna umeme wa Kilovoti 11 ambao unahitaji Way Leave ya Metre 3 X 3 yani kila upande uache mita 3, umeme...
kaka asikudange mtu kwahiyo pesa utajenga nyumba ambayo siyo kamili au kwamaneno mengine sio ya kisasa..nyumba ya vyumba vitatu yenye sebule ya kutosha, dinning, vyoo viwili na parking ya gari..ikiwa imefanyiwa finnishing ya kisasa inaenda mpaka millioni 80 reasonable one.
ni kweli jamani, mimi binafsi nimependa sana jibu lake...na kwakuongezea lazima tujue kwamba mwili wa mwanamke wote ni uchi na ndio maana unaweza kumtamani hata kwa kuangalia mguu wake tu kwahivyo ni vizuri wakajistiri pote ili kupunguza matamanio na vishawishi kwa wanaume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.