Vile vipengele vinakatisha tamaa "exp mpaka miaka 9!!!? jamani tusikubali lazima tubadili mfumo kwani nchi inaenda siko.
wanazuoni tusimame jamani!!!
knowladge makes social change
kijana wa kitanzania aliye lelewa na mzazi "mvuja jasho" kwenye nyumba ya kupanga, leo hii anaambiwa aweke dhamana isiyo hamishika kama vile nyumba, kiwanja ili apate mkopo, wavaa suti wanamwambia ajiajiri! ya wezekana kweli??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.