Mi sylivanus msanje
0717599264
Dar es salaam
Wilaya ya kibamba
Malamba mawili
Toka alhams nilipoti tatizo mita kutozalisha umeme kuingia ndani ya nyumba lkn mpaka sasa sijaona watu wa tanesco kila nikipiga simu wanasema wanakuaja wanakuja sioni fundi yoyote kufika nilipewa namba ya taarifa...
Jina.sylivanus msanje
Simu.0717599264
Mkoa.dar es salaam
Wilaya.ubungo
Mtaa.Malamba mawili mpakani
Kitu,Bar kwa tesha
Mita no.54172211200
Toka Jana mita imekata umeme umeme auingii ndani lkn pale kwenye mita upo sina namba za imejens mtanisaidiaje.
nataka kwanza nimjibu salas rais ndiye mwenye jukumu lakujua jinsi yakutatatua tatizo la umeme kwanza anaweza kuamrisha makampuni kuwekeza tanzania napia kuwaeleza TRA kuwapunguzia kodi nakupata umeme kwabei nafuu,kuhusu ngeleje unaweza kueleza kafanya nini ktk utawala wake?wewe una mke...
kwanza nasema kama tungekuwa na rais anaye jua uongozi nini najua kwanza angemuondoa kwanza ngeleje katika kiti anacho kalia,lakini kama atakaa kimya tutakuwa tuna garasha siyo rais.
nadhani kesi hii itakuwa nzuri tuweze kujua mari anzo miliki kazitoa wapi pia hela kapata wapi kufikia kumiliki makampuni nitaflahi sana,pia naomba mungu anilinde nifike siku hiyo.mungu hibariki tanzania tusikilize kesi yawanao tafna nchi yetu.
je,unaweza kuelezea jamii kwanini kashindwa kusema chochote,kuhusiana na majeshi ya nato kuhivamia libya sema ukweli kuwa tanzania tumekosa kiongozi tumepata galasha tu kama uko dsm niambie uchumi wanchi unaweza kupanda bila viwanda kufanya kazi au siyo mtanzania ndiomaana unamsifia ujinga...
wewe kweli kwenye wendawazimu nawewe umo je?libya kuna kitu kasema,tunabidi tuwe wakweli siku zote maraisi wa afrika wengiwao niwake wa nchi za magharibi kasoro kidume kama gadafi mugabe tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.