Kwa mtu yoyote aliyesoma historia ya West Africa , lazima atajua kuna nchi inaitwa Guinea Conakry ambayo ndo Guinea. Vile vile kama ulisoma Novel ya The African Child ya Camara Laye utajuakuwa kuna nchi inaitwa Guinea Conakry . Tujibidishe kufanya uatafiti kabla ya kubisha ndo kujifunza...
Forgotten, kabla hujabisha fanya utafiti. Usibishe pa pa paa kama bata. Wakati mwingine inaitwa Guinea Conakry . Conakry ndo mji wake mkuu.
"Guinea (/ˈɡɪni/ ⓘ GHIN-ee),[a] officially the Republic of Guinea (French: République de Guinée), is a coastal country in West Africa. It borders the...
FAIZAFOXY nilidhani umeenda shule na kwamba nilikuwa nadhani unafahamu kwamba haki ya kuongelea kitu au taarifa yo yote inakwenda sambamba na ujuzi au ufahamu sahiihi wa eneo hilo. Faiza hufahamu chochote kuhusu jamii ya Kigoma . Hivyo acha kupotosha
LORD Denning, naona sasa unataka ku victimise watu. Ngoja nikueleze makabila yafuatayo almost yanatumia lugha moja lakini rahaja tofauti ( one language but different dialect) . Makabila haya ni Waha na wahangaza ambao wapo Tanzania, Burundi utawakuta Watwa, wahutu na watutsi, Rwanda utawakuta...
Usidandie gari kwa mbele , nimekuambia kulikuwa na upigaji Je hujui kuwa aliwahi kiwa mjumbe pale NSSF (as it then was)? Ujenzi wa majengo ya ovyo ovyo ambayo hayawezi kurudisha ghalama haraka , hivyo poteza pesa za wafanyakazi.
Yeye Assad wakati wa tenure yake alifanya nini? The guy has...
Safi sana mkuu. Huyu mtu amekuwa kwenye bodi nyingi kabla ya kuwa CAG , wewe umetaja NBC , vile vile kuna NSSF to mention but few . Taasisi hizi zote zilikuwa zimajaa upigaji. Tatizo la wabongo hawajuii falsafa ya chapati au samaki kukaangwa kwa kugeuzwa geuzwa , ukimgeuza geza Assad hafai hata...
Well said , kwa kweli ni unmeasurable, hizo takwimu amezitoa wapi? A professor!!! Siyo sawa kuongea bila kuwa na credible authority to support your arguments
Well said , ni kweli hayuko specific , nyaraka zipi aliomba . Anonekana ni mwenye hasira , chuki , kwa sababu hizo hawezi kuwa na balanced judgement ya anachokisema
Kabla hujatumia energy yako Assad hawezi kuwa VP kwa sababu ni kinyume na Katiba. Katiba inaeleza wazi mtu aliyewahi kuwa CAG hatashika madaraka yoyote katika ofisi ya Umma. Hiyo ni moja pili , maana nimeona sehemu CHADEMA wanampigia upatu , uongozi kama huo hautolewi kishabiki wala kwa kumuonea...
Admitting what you poor nyangau ? Nyangau is always nyangau. You are not hard worker rather we assisted you in shouldering some of your unemployment burdens . However instead of being grateful you decided to backbite us by voting against us not to sell elephànt tusks, campaigning against...
Wee nyangau tuliza mshono hivi unadhani tunaogopa . Yaani Mama hata akikaza hata Mara 20 we don't care so long as the so called sleeping Giant is running now. Nawaombea na wasomalia wawashinde ICJ ili tuwatawale kisawa sawa
Wakenya wamezoea sana kuitumia Tanzania . Kipindi hiki cha jiwe walifyata sana kazi ualimu ziliota mbawa , umeneja mahotelini mbawa, u ceo kwenye masharika mbawa, ununuzi wa Tanzanite ki holela mbawa nk nk. Hawa jamaa hawawezi kumpenda Chuma hata kidogo. RIP Chuma. Asante sana kwà kutukomeshea...
Support us
The Guardian - Back to home
Sri Lanka bombings: Isis claims responsibility for Easter Sunday attacks – live news
Country holds national day of mourning as questions swirl as to whether attacks were preventable
Full report: first burials take place on day of mourning
Sri Lanka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.