Shakani kwa kuwa Naibu spika anaendelea au kwa bunge kupitisha bajeti. Nilidhani waliotoka wanaendelea na utaratibu wa kumtoa naibu spika na si kukwamisha au kusimamisha vikao na taratibu za bunge muda ukifika hilo wanalopigania litafikiwa na matokeo yataonekana .
Bahati njema Ferry bado zipo zinatoa huduma tutaendelea kuzitumia kuliko kutumia daraja . best option ni kuacha gari ng'ambo unavuka ukirejea maisha yanaendelea ..
Sidhani kama ni sahihi kusema watu wa asili fulani warejee walikotoka. kwanza lazima tujue hawa wanaoitwa waarabu zenji ni mchanganyiko wa wabantu na hao waarabu tena vizazi kadhaa vya nyuma kiasi cha kwamba walisha undergo genetic segregation kiasi cha kuwa viumbe unique wanaopatikana zenji tu...
Chanzo cha giza ni Ibilisi , mtu aliye gizani kwa mtazamo huu hata kama ukimulika mwanga kwa kiasi gani bado hataona na kufanya kilicho sahihi bali atatenda kile ambacho wanaomwangalia watasema ' huyu yuko sawa kweli ' maana Ibilisi kampofusha .
Mwandishi alibezwa na kupuuzwa sasa yametimia tunabaki kujivua ufahamu kwa jinsi hii tunahitaji kuwa makini kuwajua wenye nia nzuri na wenye kupenda kuturudisha nyuma kwa maslahi yao.
Haya Mkuu, Nchi hii imeshafikia kuongozwa na ma Dr , na kwa kulitambua hilo leo tuna Dr JK na tutaendele kushuhudia ma Dr wajao usishangae ukasikia Dr EK 2015 , yetu maho tutasikia mengi
Yawezekana alizingatia umuhimu wa mwigizaji katika mauzo yake ya filamu ambayo mwisho wa siku yanaingia kwenye kodi na baadaye kamanda anapata riziki yake --- lol
JK yuko juu ya sheria , na state inamhudumia kwa kila kitu , hivyo hakuna taxable income anayopata ila ni marupurupu tu anayoyopata katika kusaidia wa tz wapate wawekezaji ajira zipatikane .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.