Maskini inasikitisha sana, ila Mungu amewapumzisha wangekua walemavu wangeteseka sana hapa dunian, najua inauma kwa familia ila Mungu amewapumzisha, Tanzania Yetu inatuangusha kila cku. Rest in peace ndugu zetu.
Mungu ni roho. Hafanani na chochote, japo katuumba kwa mfano wake. That y kwenye bible . Mwanzo inasema hvhapo mwanzo kulikua na neno nae neno alitoka kwa mungu ........ So read mwanzo utjua.
ila ki ukwel;i this is not Good, haya mabo ya fujo hayana maana kwetu, kwa ninavyo jua mm vita vyetu si juu ya mwili na damu bali ni vya roho. tuombe Mungu aingilie kati haya mambo coz si vizuri sana. laana haitakua juu yao bali kwa watoto wao na vizazi vyao hao wanao choma makanisa. Mungu...
Duuuuh ipo siku tutakosa kabisa wanyama hapa kwetu jamani!!! watalii watakua wana kwenda nchi za nje kuchek wanyama badala ya tz, tutamkumbuka Baba wa Taifa nyerere!!! wengine wote walio baki na MAFISADI WANAO UZA NCHI YETU. je kizazi chetu watabakije?? Migodi yetu tumenyanganywa now ni wanyama...
mi hata sitaki kabisa nione taa ikiwaka nashikwa na hasira na zima nawasha candle!!!! kwani najua dakika 1 unakatika ... sasa kwanini nijipe tabu kwa kweli this is tooooo!!! much .. twateseka sanaaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.