Kuelekea uchaguzi mkuu Octobers 25, 2015..ratiba ya mgombea Uraisi kwa tiketi ya CCM Dr. John Pombe Magufuli imekaaje?
Toka tar 2 septemba alipofanya mkutano Mtwara sijamuona tena akifanya mikutano wa nje. Juzi kaonyeshwa ITV akifanya mkutano na jumuia ya wazazi Dar, jana alikuwa na mkutano...
Hivi kwa nini huwa mnahangaika kuchangia thread za huyu bibi kizee? Watu kama hawa wanaoleta thread zilizojaa urojo kama hii dawa yao ni kuwapotezea tu.
No wonder anadharauliwa na raia wa south africa. Nakumbuka siku ya msiba wa Madiba alivozomewa na wananchi wake huku Obama akishangiliwa as if ndo rais wao. He is just extravagant and corrupt, knowing nothing about leadership except marrying, dancing, singing and drinking.
Nakubaliana na wewe..kuna watu wanataka kuhalalisha utamaduni wa Mtanzania uwe na misingi (mwelekeo) ya dini zao.
Kwanza wengi wao ni wanafiki..in private wanafanya ushenzi, in public wanajifanya watakatifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.