Umenifurahisha sana kusema kua umeokoka...ubarikiwe sana na kama kweli umeokoka utafahamu jinsi gani ndoa na maisha kwa ujumla ya wapendwa yanavyopigwa vita na shetani!!
Kitu unachokosea ni kumpa binadamu mwenzio nafasi zaidi ya Mungu wako aliekuumba!!
Umejishusha sana kwake adi sio poa...mpe...
Hakika nchi yetu imegubikwa na ujinga na upuuzi mwingi sana na kinachouma zaidi wananchi tupo kama mazombi, tunapelekwa tu.
Embu angalia nchi haina umeme, maji shida, hali ya maisha ni ngumu kwenye maofisi ya serikali ukiritimba umejaa alafu kuna wapumbavu wananyanyua midomo yao na kumkashifu...
Mkuu umeandika kitu muhimu sana, ila umekua bias kwani hata hao wanaowatumia hao mashoga na hao makahaba pia akili zao zina shida pia...
Mithali 6:32-33 "Yeye aziniye na mwanamke hana akili kabisa na afanya jambo litakalomwangamiza"!!
Mungu atusaidie sana!!
Yani hapa ukipitia comment za watu ndio unaweza kisia YESU KRISTO WA NAZARETH akishuka toka mawinguni muda huu ni nani atanyakuliwa nani ataachwa...
Sijui ni kiburi cha uzima ama ni nini, Mungu atusaidie sana wengine unasoma comment zao unaona mtu anaandika ili aonekane anajua sana...
Wakuu...
Hakika jina la Yesu na Damu yake vinanena mema mkuu. Vp bado unaendelea na uasherati/uzinzi au umeacha? Karibu kwa Yesu mkuu ya duniani yote ni ubatili mtupu na kujilisha upepo!!
Me naona ni fifty fifty haina cha kwamba imebase wapi. Maana kwa mfano tuangalie kwenye matokeo ya shule maybe ya darasa la 7 au kidato cha 4 au hata chuo.. unaweza kuta wanawake wamewaburuza vibaya sana wanaume.
Ila pia mimi nawajua wanaume ambao ni empty set kichwani adi unajiuliza..
Lakini...
Kitu ambacho hujui mleta mada Mwl. Mwakasege anatumiwa na Mungu kwa viwango vya juu sana. Yeye haenendi kimwili kama hao makanjanja wengine.
Kama mtu ni wa rohoni sasa atafahamu Kuna kitu kinaendelea.... maana sio coincidence tu kila Mwl. Mwakasege anapoitisha semina basi na huyo Mwamposa...
Hapa alimaanisha kua binadamu kuingia mbinguni sio jambo la kitoto, ni mpaka ujikane kabisa..yani kama starehe za dunia zote uziache na ukubali kufanya matendo yampendezayo Mungu ndio utakapourithi ufalme wa mbinguni.
Ni sawa na mfano wa yule tajiri alieambiwa na Bwana Yesu kua auze mali zake...
Naona chawa wa Masanja washaingia kazini kumkingia boss wao kifua, siku mbili nyuma hamkua na kasi hii..
Hili tukio kiukweli linatia ukakasi mwingi wala hakuna mtu anamchukia wala kumuonea wivu huyo Masanja, ila vile ameongea na kuonesha vile amekua na moyo wa msamaha kwa mkewe, vilevile...
Hii issue ni kubwa kuliko walivyoiweka, inawezekana wameamua kumnyamazisha jamaa kwa sababu tofauti kabisa, ila kwa akili za wabongo tunabaki kudiscuss picha kama ilivyowekwa!!
Ila Masanja ataishia pabaya kuliko anavyodhani, maana kwanza Mungu hafanyiwi maigizo akanyamaza na pili damu ya mtu...
Dah nilikua najiandaa nianze kuelekea katani ila ngoja niendelee kusikilizia nitapoteza muda bure...
Hivi hawa watu wanakwama wapi adi leo hii hakuna kitu mkuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.