Search results

  1. M

    Sony ericson

    Habari zenu wakuu. Naomba mnisaidie nina shida ya kufungua inbox sms kwenye simu ya sony ericson P990i. Kila nikifungua inanipa ujumbe wa "APLICATION CLOSED" reason code 130.
  2. M

    Uzalendo wa Mwl Nyerere: Alimtoa mwanae kwenda vitani Uganda. Je, Mwinyi, Mkapa na Kikwete?

    Na kuna mtoto wa SALIMU AHMED SALIMU (alikuwa rais wa znz) alimaliza depo lake hapa CCP trh 30/3/2012 aliingia na cheti cha urubani
  3. M

    msaada kuhusu shule ya machame girls

    Karibu moshi binti kama ukiitaji kampani un pm kwani hata mm nipo hapa mo-town. Nyc study!!
  4. M

    Ebu shangaa kikwenu tuone

    Kibo cha ndesi!
  5. M

    Ajali ya bodaboda

    Nilisema zaidi ya 500 hiyo ni kadilio la chini zinaweza kuzidi zaidi ya hapo
  6. M

    Ajali ya bodaboda

    Nimeona pikipiki(boda boda) zaidi ya mia tano hapo nje ya hospitali ya mwananyamala mwenye habari zaidi atujuze. Abiria wenzangu wanasema ni ajali wamemleta mwenzao hospitali.
  7. M

    Ajali ya bodaboda

    Nimeona pikipiki(boda boda) zaidi ya mia tano hapo nje ya hospitali ya mwananyamala mwenye habari zaidi atujuze. Mm nimepita na gari nimeshindwa kusimama sababu kuna watu wengi.
  8. M

    kama napigaaaa!

    Njia imefunga ww bora urudi ulipotoka.
  9. M

    Nauza Lamborghin Gullardo

    Aka kachalii kumbe n kaongo iv?
  10. M

    Dr msaada jamani nna wasi wasi.

    Kijana ujui kuwa ma doctor tumegoma?
  11. M

    Ajali mpirani

    Ww ni kitumbua
  12. M

    Snow inavyofunika magari ulaya siku hizi

    Tukumbushe ile ya mafuriko
  13. M

    Matokeo kidato cha nne yatatangazwa live tbc1 saa 11!

    Duh! Umeua mkuu. Na huko Veta wanaitaji uwe Na "D" mbili.
  14. M

    Mmasai atoa kali msibani

    Copy & paste. Kijana pole na ban. Kuna pacha wako anaitwa COMPLICATOR sijui mnajuana.
  15. M

    Maji Moshi kama Singida

    Pole mkuu. Naona wanafunzi wa muccobs wanaangaika sana kutafuta maji. Kuna jamaa yangu anaskuli hapo kanambia wasichana wanaogopa kwenda kwenye discussion wanaofia kikwapa kutema.
  16. M

    Msaada

    K. Kaa kwenye foleni ya kuingia kwa doctor
  17. M

    Spika na kiinglish

    Dictionary ya kwenye simu
  18. M

    Mke wa rafiki yangu ananitaka

    kumbe wanaongezaga maji ....?
Back
Top Bottom