Ben leo nimetoka Rombo kuna taarifa nimesikia kuhusu swala la Kiliwater imevunja Hakuna kitu kina niumizaga kama Kiliwater yaani maji hayatoki nakuta bill ya 30,000 naomaba kuijua KILIWATER Vizuri maana hili ni aibu kubwa mno maji tunayo tunachimba wote waje kutuuzia miaka yote
Jamani wapo nec kwa kazi maalumu kwa maaana siri sa hiv ziko njee njee subirini muone chezea lowasaaaa sema lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Magufuli aanzishe tuition ya hesabu pale mapambano sio irahisi na kingine ni kwamba hatutaki rais kama waita wa wakina JK na Kapa,na ruksa tumesena hatufanyi makosa ngoja muone nawaambia kweli hakuna kulalamika tena
umesema kutikisa nchi mpaka sasa mmetikisa nini naona hela ya media hamna tena na media sasa hazioni hata story ya kuwaweka kwenye page hata ya habari za mikoani hata kwenye kiu mlisema mnaanza na arusha imekuaje njooni tuu muone anna anaujua mziki ni mamluki toka kipind cha nassary alipokuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.