Gari nzuri aina ya Mitsubishi Canter ambayo inafaa kwa shughuli za kubebea mizigo isiyozidi tani 2 inauzwa.
Baadhi ya watu hutumia gari kubebea mizigo hasa maeneo ya kariakoo.
Gari hii nimeiagiza kutoka Japan siku za hivi karibuni takribani mwezi mmoja uliopita.
DETAILS ZA GARI:
JINA...
Gari nzuri aina ya Mitsubishi Canter ambayo inafaa kwa shughuli za kubebea mizigo isiyozidi tani 2 inauzwa.
Baadhi ya watu hutumia gari kubebea mizigo hasa maeneo ya kariakoo.
Gari hii nimeiagiza kutoka Japan siku za hivi karibuni takribani mwezi mmoja uliopita.
DETAILS ZA GARI:
JINA...
Yangu juzi yameteremka marobota mengi ya t-shirts,kofia na bendera za chama watu wanagawiwa tu, vijana wanapewa elfu 20 kuvaa na kubeba mabango yaliyokwisha andikwa kuonyesha arusha haimtaki lowassa na lema. Pikipiki zimeshawekewa mafuta, Mimi ninazo tatu hapa mjini teyari madereva wamekwisha...
No siku ya pili Leo naona kimya bila Maelezo toka kwa wahusika ni nini kimetokea. Jana walihairisha morogoro bila kutoa sababu na Leo mpaka dakika hivi huku morogoro naona kimya. Wahusika Makene mtujuze tumeshavaa sare teyari tangu juzi.
No siku ya pili Leo naona kimya bila Maelezo toka kwa wahusika ni nini kimetokea. Jana walihairisha morogoro bila kutoa sababu na Leo mpaka dakika hivi huku morogoro naona kimya. Wahusika Makene mtujuze tumeshavaa sare teyari tangu juzi.
Kati ya wabunge niliowakubali katika binge lililopita na bado namkubali ni huyu mbunge wa NCCR Mh. Mkosamali. Ni muda mrefu tangu bunge limeisha sijamsikia au kumuona kwenye harakati za uchaguzi..naomba nijuzwe yupo wapi, anagombea tena ubunge? Ni mmoja ya watu wanaotakiwa kurudi kwenye binge lijalo
UKAWA nawaunga mkono kwa sababu zifuatazo:
1. Walisusia mchakato huu tangu mwanzo kwenye bunge la katiba..leo hii wakishiriki hata kuipigia kura ya hapana ni sawa na kula matapishi yao.
2. Hawakuipigia kura ya hapana bungeni kwanini waje kuipigia huku uraiani, huo utakuwa unafiki kisiasa.
3...
Sipingani na jeshi kutoa heshima kwa amri jeshi mkuu lakini katika sikukuu zote za kitaifa,uhuru, muungano na haya mapinduzi, matukio huwa yanakuwa yaleyale, rais anakagua gwaride, jeshi linapita kwa mwendo wa haraka na polepole, halaiki ya wanafunzi ambayo hata wakati mwingine haina ubunifu...
Nina nyumba yangu nataka kuifanyia valuation bila kutumia valuar wa manispaa...detail zote za nyumba ninazo na ninataka kuifanya mwenyewe.....hesabu zake nimwsahau kidogo....maengeneer na valuar wanisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.