Si kweli,wanaenda sana kozi,hata mimi zamani nilijua huwa hawaendi kozi tena baada ya kozi ya awali,
Kusaidia ni roho ya mtu na si askari jeshi au polisi
Huyo ana majini,atakusumbua sana usiposimama katika imani,
Achana naye kabisa mbeleni utalia huwa wana kiburi na roho za hasira kiufupi ni pasua kichwa
Mjadala utakuw mrefu lakini Ndo imetoka hiyo,
Mtasahau tena kujadili masuala muhimu yenye usitawi
Mtatoka kwenye direction yenu nakuanza kuhangaika na mjadala huu mpya
Mwishowe mtakuja kumbuka shuka kumekucha kwa kuendekeza siasa za matukio
Baki wachina utapata exposure ya kutosha ila kufanya kazi serikalini kuna shida sana Mara nyingi unakuwa hauna Uhuru Muda mwingi unafanya kazi za serikali halafu baki kwa wachina tengeneza maisha.
Omba Mungu Sana tafuta viongozi wa kiroho wenye nguvu utasaidika,Mimi nilipata changamoto ya nguvu za Giza ilinisumbua sana ila nilipoamua kuacha kutumia akili zangu mwenyewe na kumfuata Yesu mambo mengi sana yalibadirika na Amani ilirejea.Hallelujah
Dar kwa lugha nyingine maana yake Tz Fuatilia Hata magazeti ya kiingereza ya hapa nyumbani huita Tz Dar,
Huwa inaaminika Kuwa Mji mkuu Ni kiwakilishi cha Nchi Ni Sawa na Hata ukisoma magazeti ya kimataifa kama Business Times nk kwa mfano kutumia sana neno London kumaanisha England,
Hata hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.