Ukinitumia msg pm imekula kwako huwaga sijishughulishi na upuuzi labda iwe ni business nimeona nimeipenda nikuulize lakini sio jitu linatoka huko eti hi.. mazoea sitaki dm yangu..
Hizo issue ni kama kamali so kuna kula na kupuswa.. so take care. Design kama una bet niko na 8m nahitaji kuziweka mahali zinizalishie hata kwa one year lakini sio kwenye hisa...any idea nipeleke wapi?
Ki ukweli wanawake tuna husudu sana mkaka anayenukia vizuri hata heshima inakuwepo. Usifanye mchezo una mkiss mtu shingoni unasikia manukato mazuri really ina ongeza mood ya show sana... Naweza kukun"gata shingo au hata akikumbatia wadada wanaelewa how it feels..
Pitia pale utakuja kunishukuru hapa wana karibu brand zote unazojua wewe... Zinanukia vizuri sana hadi mtu anaweza kuuliza umepaka perfume gani. Bf nae ni mpenzi sana wa perfume ngoja siku nikionana nae nitaangalia pefrume alizonazo nitawatumia majina.
Lazima yawe ya bei bei kidogo hizi cheap perfume nyingi ni mtihani. Mind me tunaishi na bf mbali mbali lakini huwa nikiondoka nachukua kitambaa changu cha mkononi na kipulizia perfume yake ambayo hata nikifua haitoki na miminia kweli na huwa naweka chini ya mto ninao lalia. Hadi siku tukionana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.