Wakuu habari zenu, naombeni maelekezo utaratibu wa kuunganishiwa chanels za super sports kwani mi naish kijijini nataka kufanya biasha ya kuonesha michezo
ahsanteni
Tofauti ni kubwa sana, kwanza walimu shule binafisi wapo wa kutosha kwani wanalipwa vzr ,wakati serikalini unakuta shule ina walimu 3 f1-1v wengi wao wanakimbilia Privt. Pia privt wanamchujo unaowasukuma wanafunzi kusoma kwa bidii kuogopa kuchujwa. Uhuru mkubwa sana wanafunzi wa shule za...
Tupo pamoja wakuu nimemaliza 6 mwaka 2006, ninawakumbuka sana walimu hawa Br Lyimo mkuu wa shule, Mr. Makundi, Mr. Maghembe, Mr.Mlay, Kichawele, Lyiatuu, Mr. James, Mr. Minja Mr. Sendoro (RIP)etc.
Jamani tukiacha ushabiki wa vyama mimi binafisi simsulubu LOWASA ila Chama chake HAKUNA ALIYE MSAFI ndani ya CCM hivyo LOWASA kuwa fisadi ni kawada ya Viongozi wa CCM, maana yake ni kwamba hafai na wengine woote walioko CCM.
Jamani tukiacha ushabiki wa vyama mimi binafisi simsulubu LOWASA ila Chama chake HAKUNA ALIYE MSAFI ndani ya CCM hivyo LOWASA kuwa fisadi ni kawada ya Viongozi wa CCM, maana yake ni kwamba hafai na wengine woote walioko CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.