Gari inauzwa aina ya gx 110 million 7
Engine no 1gfe11000021,
Air conditions ok,
year of manufac 2001,
airbag pase imebast
radio ipo ila konecta hamna
auto motor vehicle imeish 10.6.15 insurance ina expiry 8.2.16
Wanajamvi juzi kati nilikuwa nipo naperuzi tu net nikaona picha ya jezi mpya ya taifa stars yenye logo ya Adidas tofauti na ile ya Uhlsport.
Tafadhari mwenye picha ya hiyo jezi ikionekana vizuri afanye kuiweka hapa.
****************************...
Niamini mimi wimbo wa Mwana Fa "kama zamani" ni artistic message kwa Jay Dee! Fa ameshawai kukiri kuwa hakuna mwanamuziki wa kike ambaye yeye anapenda kufanya nae kazi kama Jide! Chukua muda wa kuisikiliza verse ya kwanza ya nyimbo hiyo ndo utanielewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.