Sio poa kulingana na maadili ye2 watanzania,WEMA ni mzuri ila mambo yake mengine kama hayo ya kukaa uchu na vivazi vya kuexpose mwili wake vinanikera,vaa kwa kujisitiri maeneo mengine umwonyeshe Diamond mkiwa wote getho..
Kwa kweli kama baba hamwamini mwanae sijuhi anataka nani hamwamini!na kumpa ajira!cwaelewi mm pia najamaa zangu wametoswa na mm pia ila 2pambane 2takuja kuwa juu kuliko hao wachaga na wahaya wanaobebana..Let's b optimistic gays..
Nchi hii watoto wa wakulima tumeula wa chuya!ni Pinda anayejiita mtoto wa mkulima mwenzetu ndiye aliyefanikiwa kuwa juu toka coz alisoma enzi za mwl ingekua enzi hizi ingekuwa ngumu,mshkonde mliotoswa 2po wengi 2mwombe Mungu ipo cku 2takuwa juu bila hata kuwa na kadi za ssmm!
Kwa kweli maisha yamepanda ila angalau wamejitahidi kupandisha ila waboreshe na taratibu za bodi ya mkopo ili mkopo iwahi wanavyuo watulie wasome 2pate magraduates bora na sio bora graduates!!
Ishu sio chuo gani ila ni m2 wa aina gani na uwezo gani!vyuo siku hiz vipo ving Tz na vinatoa wa2 critical na competant wanaowazidi so acheni kujiona bora coz ur frm Udom,Udsm 2nakutana nao ktk interviews mbona 2nawagaragaza na 2mesoma vyuo vidogo vya private!
Nadhani sio uzembe ila ni staili yao coz wa2 hawafanani!cha kuangalia ni uwezo wa kuwasilisha hoja za msingi na kutetea maslahi ya taifa na sio kuwa na makabrasha,hata hivyo document na evidence zao zipo ktk softcopy sio kbeba makaratasi kama 2po zama za kina Karl Max.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.