Search results

  1. Sajunne

    Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

    Kwanini unajinasibisha na uislam? Simama kama mtu unayepigania kitu
  2. Sajunne

    Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

    Wewe na wachumia tumbo wenzio ndio naendelea kusema inchi hii ni masikini, mwenzio leo ACT amekubali
  3. Sajunne

    Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

    Nilichokigundua kwako ni chuki na roho mbaya wivu pamoja na husda. Kama huna chembe chembe za uchawi sidhani. Hoja zako zimemlenga hayati MAGU, Toa hoja zinazoeleweka
  4. Sajunne

    Mliambiwa lakini hamkusikia, sasa ni muda wa mavuno ya awali ya kile tulichopanda

    Mimi pia ni mwanachama wa kutokuwaamini wanawake hata 1% yalishanikuta makubwa.
  5. Sajunne

    Ndugu zetu Wa kanda ya ziwa ndio mnaongoza Kwa matukio ya Ukatili hapa nchini. Tatizo ni nini?

    Robert,, unaitambua talaka kumbe!! Kumbe dini ya uislam ipo sahihi?
  6. Sajunne

    Ndugu zetu Wa kanda ya ziwa ndio mnaongoza Kwa matukio ya Ukatili hapa nchini. Tatizo ni nini?

    Kwa mkeka wako huu nimetamani kujua watu wako wa karibu yako ili nikufahamu vyema, tabia hizi zipo pote2 duniani, but mkeo kucheza kigoma uchi then ukachukulia poa tabia hiyo ni sawa na kuwa wewe mume una chembe chembe za ushoga.
  7. Sajunne

    Mbunge adai SGR itajengwa kwa miaka 81

    Naipenda Tanzania nchi yangu, lango kuu la wapiga dili. Wananchi wake ni sawa na Wanachi wa enzi za nabii Mussa, walikataa hadi msaada wa chakula cha bure kutoka kwa mungu
  8. Sajunne

    Wazanzibar tuwe na tahadhari kuhusu hofu ya Ebola, Tanganyika

    Mkuu Mada yako ni nzuri Lakini kwenye maelezo ina chembe chembe kubwa za ubaguzi wa watanganyika na wakwenu visiwani, siku nyingine chunga na zingatia uandishi wako, la sivyo utakuja pewa kosa la uchochezi bure
  9. Sajunne

    Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

    Kahaba atahangaika sana kuweka vyema status yake
  10. Sajunne

    Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

    Ujana bana, Ila bi tukinao ujana alishaumaliza sasa alikuwa anahangaika nn wakati wa kupiga miti alikuwa nae
  11. Sajunne

    Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

    Mahusiano yalivyo ukiwa na msaliti halafu mazingira yako ya kazi kuna mtu anaitaka nafasi ya msaliti lazima uingie kwenye wakari mgumu kidogo
  12. Sajunne

    Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

    Wadangaji watamtetea sana mwanachama mwenzao
  13. Sajunne

    Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

    Nenda ukabembelezane na kahaba mwenzio
  14. Sajunne

    Maandishi yaliyopo kwenye bendera ya Saudia

    Mkuu umefikia huko???? Kuwa mwangalifu
  15. Sajunne

    Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

    Hahahahahah Mkuu tabia ni muhimu kuwa nzuri, but hayajakukuta
Back
Top Bottom