Nilichokigundua kwako ni chuki na roho mbaya wivu pamoja na husda.
Kama huna chembe chembe za uchawi sidhani.
Hoja zako zimemlenga hayati MAGU, Toa hoja zinazoeleweka
Kwa mkeka wako huu nimetamani kujua watu wako wa karibu yako ili nikufahamu vyema, tabia hizi zipo pote2 duniani, but mkeo kucheza kigoma uchi then ukachukulia poa tabia hiyo ni sawa na kuwa wewe mume una chembe chembe za ushoga.
Naipenda Tanzania nchi yangu, lango kuu la wapiga dili. Wananchi wake ni sawa na Wanachi wa enzi za nabii Mussa, walikataa hadi msaada wa chakula cha bure kutoka kwa mungu
Mkuu
Mada yako ni nzuri
Lakini kwenye maelezo ina chembe chembe kubwa za ubaguzi wa watanganyika na wakwenu visiwani, siku nyingine chunga na zingatia uandishi wako, la sivyo utakuja pewa kosa la uchochezi bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.