Jamani naomba kama unauweleo na ili jambo la urubani sio lazima uchangie kama aulewi, watu tumesoma vyuo ivyo ivyo walivyo soma hao hao marubani wa vasco dagama sasa tunacho kiandika tunakielewa, mtu akiitwa rubani inamaanisha ni rubani tofauti ni uzoefu tu lkn utapataje uzoefu na una kazi kwani...
Nini maana ya uwekezaji,Ni lazima kutoa ajira kwa watanzania.kama unafungua kampuni na kujaza foreigners,na kuchukua faida nchini kwako,basi huyo mwekezaji HATUFAI hata kidogo!
Sheria ya kazi,huwezi kuajiri Foreigner kwa kampuni iliosajiliwa Tz.Labda tu kama hakuna mtanzania anayeweza kushika nafasi hiyo.Na hata ukiajiri Foreigner lazima ufanye train kwa local Man ili aje kurithi nafasi hiyo,baada ya contract kuisha.Haijalishi kama kampuni ni ya Serekali au mtu binafsi.
Inasikitisha sana kuona Serikali yetu inavyowapa wazungu first priority.Wazungu wanatoka kwao wanakimbilia Tz kupata kazi,wakati wenyeji wanapigwa danadana.Ni kweli marubani wa kitanzania sio wengi,kwa sababu kusomea ni ghali sana,karibu mil 80.Wapo waliojitahidi kujisomesha kwa kupitia...
Hivi kuna haja gani ya Amani kama maisha yapo kama ya Tumbili.Nchi ambazo zimepigana vita mpaka majuzi,kimaendeleo zimeshatupiga bao.e.g Rwanda.Tena hadi ela yao ina thanani kuliko madafu yetu.Huku ni kulogwa,ccm walijisahau sana,ni kunenepesha vitambi vyao.Inabidi tuamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.