1. The nice men are ugly.
2. The handsome men are not nice.
3. The handsome and nice men are Gay.
4. The handsome, nice and heterosexual men are married.
5. The men who are not so handsome, but are nice men,have no money.
6. The men who are not so handsome, but are nice men with money...
wabongo bwana uwe kimya wanachonga uongee sana wanachonga,sasa ukimya wake unawahusu nini kila cku sio lazima aonekane kwenye vyombo vya habari.kila mtu ajali ya kwake yanayomletea maendeleo vingine si vya lazima.habari ndio hiyo
hatuna serikali tanzania tuna genge la mafisadi ambao wamepeana uongozi ili mwenye kusafiri kila siku asafiri na mwenye kula pesa za wananchi ale tu.kiukweli zamani nilikua nasikia fahari sana kua mtanzania ila sasa hivi hali ni tofauti kabisa
Unknown No.1
Hi,Do u have a boyfriend?
Girl:Yes.Who are you?
It's your dad, be home this weekend, and we will talk!
Unknown No.2
Hi do you have a boyfriend?
Girl:Not a chance,who are you anyway?
It's your bf,sucks to know that you are not proud to be with me and be your bf:(...
wakuu wa wilaya na mikoa ni wateuliwa wa raisi hakuna kigezo chochote kinachotumika ili mradi ajue kusoma na kuandika tu.nafasi hazitangazwi raisi akijisikia tu anateua yeyote anayemuona yeye anamfaa,ni vyeo vya kisiasa zaidi vinavyolenga kuendeleza chama.nadhani katika mapendekezo ya katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.