Juma Ngamia aliwah kusema siongei na mbwa ila naongea na mwenye mbwa na mbaya akaponda kazi ya waandishi wa habari leo Hii awekuwa naibu waziri wa Habari tutakandamizwa sana Mwigulu nae mropokaji maarufu asiye na hoja wa busara katika kujibu hoja za msingi napata hofu wenda baraza litaundwa...
Bora ufukuzwe chadema zitto Damu za watu bado zinakulia zito huwez kuuwa kwa upanga nawe uwe na Aman unahaki ya kupata unachokifanyia chama toka 2008. Safi na bado nenda ccm utapewa cheo cha mwigulu au kama vp potea kama wengne tuu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.