Jana bajeti ya wizara ya elimu imewasilishwa mjengon! Wizara imeongeza kias cha sh. 2500/- kwa siku, kama pesa ya kujikimu na sasa ujumla wa pesa hyo kuwa Tsh.7500/- per day! Je serikal imezingatia uhalisia kwa wale wanaoish off campus? Au ndo ulegelege?
thnx 4 newz, hao takukuru labda na wao wanahitaji kujivua magamba maana ndo imekuwa style nw dayz. Tayar kwa kuona na kusikia ni waz kunaushahid juu ya barua za kuomba 50mil kwa taasis za wizara ili kulainisha wabunge. Bt pengne hao takukuru wanaweza kuja na hoja kuwa 'hakuna ushahid wa moja kwa...
CCM imeshindwa kuwa na mikakati endelevu ndani ya miaka 50 kuhusu UMEME, wataweza kwa wiki 3? Hizi dharula ndio zinawafaidisha wajanja wachache kufanya UFISADI. Huu ni wakati muafaka kwa watanzania wazalendo kufanya maamuzi. TAFAKARI
Jaman 2sidanganyane, cut off point ya st. Joseph kwa engineering ni 4.5 na Udsm kwa engineering ni 2.5. Ila st. Joseph wanautaratibu wa kupokea wa2 wenye 2.0, thn wanasoma coz maalum ya miez mi3, unapo faulu ndo unaingia main coz ya engineering. Ukiangalia kwa hzo cut off point utagundua kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.