Ndugu yangu tatizo ni Umeme kweli Lakini huu wa Mafuta wanaoupa kipaumbele hautufa na hakuna atakae weza kuununua kwa bei ya Soko.Tanesco inaomba 16 billion kwa kununua mafuta yakuendesha Generator kwa 1 month,Je hilo linaingia akilini?Generator ndogo kama zile za Kigoma 1 inakunywa 200lts per...
Naomba nianze kwa kutaja Mito Mikubwa 3 tu.Kagera,Malagalasi na Rufiji.Tusitafute Mapolomoko ya Maji bali tujenge Mapolomoko.Mfn;Tusijenge Rusumo tusogee chini zaidi Pale tunapoanza kuupata Mto Kagera ndio pajengwe Mapolomoko.Tuache porojo Malagalasi Tanesco wamesha pata sehemu nyingine ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.