hawa ndio wanatudhulumu sisi watoto wa maskini
tukisema tunaambiwa ohhhh bas nyie kila wakati mwalalama tuuuuu
suti dola elf 10 sasa huyu atakuwa kweli hana akaunti uswisi kweli?
Hivi huyu angekuwa Muislam ingekuwaje?
Halafu kwa nini kuna watu hawataki kutuambia Mahusiano yake na waziri Janeth Mbene?
Nahisi kama vile wa Ghala wanafanya jitihada za ziada kumsafisha mtu wao lakini hasafishiki. Iweje balozi na maofisa wa balozi zetu nchini Burundi na Comoros na Malaysia...
mimi nilikuwa simjui sasa nishamjua. Hatufai
inawezekana vipi balozi wa Tanzania avae suti ya dola elfu 10 na watu wanaona sawa?
Hafai huyu. Bora adam Malima
Napenda kuwajulisha kuwa kichwa cha habari original kilikuwa:
JJ MNYIKA ANAVYOJICHEKESHA KWA JK
Ama kweli CHADEMA mna kazi TENA NZITO.....halafu mnatafuta mchawi wenu ni nani wakati wasaliti mnao kibao chamani kama huyu JJ MNYIKA.
Huyu Mnyika na DEDI yao kule CHADEMA walitamka wazi kuwa...
Only in Tanzania
Waziri aliyepiga vita rushwa (NUNDU) alifukuzwa kazi kisa ali go public na taarifa za kuhusu naibu wake.
zaidi ya hayo hakuna sheria hata moja aliyevunja. sana sana utaambiwa ohhh asingeenda public na kuhusu naibu wake
sasa nadhani mnaelewa kwa nini tunataka katiba mpya kama...
Wananchi wa wilaya ya nachingwea wamesema hawana imani tena na chama cha mapinduzi kufuatia kitendo cha mbunge wa jimbo hlo Bwana Mathis Meinrad Chikawe kupeleka sanda za kuwazika wananchi hao "walisikika wakihoji hyo ndyo hatima yetu baada ya kupigwa na nyundo miaka 50 na kuchimbiwa kaburi...
Mimi naomba kuuliza swali labda mnaweza kunitoa ushamba
Kwa nini TV za nje zinakuwa ni clear kuliko za Tanzania?
Mmeona hapo wakati anahojiwa JK picture quality ya STAR TV ilikuwa terrible itafkiri TVZ ya 1980's lakini once walipounganika na BBC London picha ikawa clear zaidi.
Najua mtakuja...
Eti kampuni ya BAE SYSTEMS ''imeanza mchakato''
Hivi kuagiza hiyo power supply ( kama kweli ndio iliyoharibika) toka UK kuja hapa Dar inachukua muda gani? na kwa nini hawakununua power supply ambayo ingekaa stand by?
waziri husika naye kimya.
this should be interesting'
naomba link
Le Mutuz is slowly becoming my favourite na hasa hiyo I dont give a F attitude yake
mtamchukia wee yeye wala hata habari hana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.