Not true,wanaoomba kwenda vyuo pamoja na loans ni waliomaliza shule(tena form IV) tangu 1988,na wote hupata nafasi za vyuo ama loans ili mradi wanakidhi vigezo husika
Wahayudi wangalijua Yesu ni Mungu wasingalimpiga na ndiyo maana Yesu alisema ''Baba uwasamehe maana hawajui watendalo"...namaanisha kusema,wanaomtukana na kumnyanyasa Lowassa sasa tuwaache tu waendelee kumtukana kwa bidii zaidi,they know he is a hard nut to crack,na wanasutwa na dhambi zao na...
Well,inatia moyo kuona waswahili sasa tunaanza kuwa majasiri wa kufanya interview za kiingereza(JAPO BROKEN) na hasa ujasiri huo unapofikia hatua ya kufanya interview katika vipindi vya TV vinavoangaliwa na watu wengi duniani kote.So,jana tar.30/9 nilimsikiliza Diamond akiamua kuwa jasiri na...
Sijapotosha,ndivyo ninavyomwona,wewe una haki ya kutofautiana na mimi,simaanishi kusema ana akili kwa vile tu anawashangaa UKAWA,alizungumzia mambo mengi vizuri tu sema shida sasa mtangazaji anayeongoza interview hana ufahamu wa mambo,hakuwa anajua hata ni lini Waziri Msuya aliacha kuwa Mbunge...
Nilivutiwa na namna anavyozungumza,anazungumza vizuri sana,hayo mengine ni weaknesses ambazo kila binadamu anazo,hata hivyo nafikiri kwenye siasa ni muhimu uwe arrogant kiasi flan vinginevyo watu watakufanya punching bag
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.