jamani wenzetu huo kwao ni kama utamaduni yaani wamezoea kubusiana na pia wanao upendo wa dhati ndo maana leo hii wazungu kutokana upendo wao tunawashangaa lakini wao wanao upendo kutoka moyoni
yote yanawezekana ila zaidi inategemea hasa ni vipi wapenzi hao wanategemea kufanya baada ya masomo yao, lakini walio wengi huishia kudanganyana tu kwani wengi wao wako ki-maslahi zaidi
Mimi ninashangaa sana Watanzania tunavyodanganywa kama hatujui nasi tunakubali na kulumbana tena kwa kutetea uovu kama mazuzu, hivi tangu lini ukaishi ndani ya nyumba unayoimiliki usijue kama ina mlango au dirisha? huyu kinana anahusika na anajua nini kilikuwa kinasafirishwa na kwa kiasi...
wanachadema mimi ninaamini viongozi wa chadema ni watu makini kwa kiasi kikubwa sana, sasa hii habari inanitia wasiwasi isije kuwa ni janja ya hawa magamba maana ni hodari sana kwa kuvuruga vyama vya upinzani~takecare
ukweli lazima tuukubali na pale panapohitaji sifa basi papewe sifa, huyu Magufuli ni mchapa kazi mimi nadhani alistahili apewe uwaziri mkuu huu ubabaishaji kwa baadhi ya mawaziri wachovu wangejitoa wenyewe,kaza buti mwana wa pombe MUNGU atakutunuku siku moja
kama ulikwishalipa fedha na tanesco wanayo majukumu mengi kwa ajili ya wahitaji wengine wengi wamepata muda wa kukufungia umeme j`mapili nawe hupeipendi ck hiyo kwanini usiwazuie hadi j'tatu? lakini bora umpigie baduru masoud bana:A S confused:
hawa watu wa magamba hawatabiliki bwana kigwangala mnafiki hawezi, mh february mtandao mpana amekuwa home kwa jk muda na ndo maana ya kelele hutasika tena kwani tayari keshapata:israel:
wewe unakuja na mada iwe na mashiko kwa wana jf siyo unatuletea habari isiyo kuwa na kichwa wala miguu. kwani ngereja alikuwa na u husiano na badra? wacha hizo bana
Nionavyo mimi kitu cha msingi hapa mzee jk angalia suala hili kwa umakini mkubwa huu uswahiba utakuzamisha kaka hao swaiba zako ndo wamekuondolea imani kwa watz pata watu makini ili hawa wanaoondoka tulie nao mahakamani make ni wezi hawa!:shut-mouth:
Ninachoamini mimi sasa ni kwamba nchi hii bado inao wajinga wengi, hivi wewe unadhani watu wangapi wanafaidi muungano huu ambao umegeuzwa kuwa sehemu ya kuwaibia wazanzibari? je unafikiri wazanzibari wanautaka muungano kama wewe unavyoutaka? je wewe mwenyewe umekufaidia nini?au wewe unafuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.