Nahitaji mwalimu mzuri wa form one physics, chemistry, biology na Maths na mwalimu wa commerce, geography, bookkeeping and History awe Dar es salaam crash programme ya siku 10. PM me please
Mimi niko Tanzania kuna mdogo wangu anahitaji kufanyiwa hiyo kazi kama uko Tayari sema maana anahitaji mtu wa kuifanya kwa ustadi haraka. Nikiasi cha kuziweka ziwe kwenye consistencies alinipa nimsaidie lakini nimekua na mambo mengi na yeye ana haraka ni references za chapter nane
Serikali ya awamu ya tano imefanya mambo makubwa mengi tu kwa kipindi kifupi kwanza nidhamu imerudi hasa kwa sisi watumishi wa umma. Pili wakulima wamenufaika na bei za mazao e.g. korosho ha hii ni baada ya kupunguza baadhi ya tozo. Tatu Ufisadi na rushwa vinaendelea kupungua ikumbukwe rushwa...
For the first time nimelia, nimepatwa na uchungu wa uzalendo nimeumia sana. Kwakweli ambae mpaka sasa ajamuelewa raisi wetu anaitaji maombi. Mimi sio mwanasiasa ila with my little psychology nimeuona uchungu na uzalendo wa dhati wa muheshimiwa. Nimekaa pembeni na mwanangu wa miaka sita akasema...
Wadau kama kuna mtu anaweza niambia wapi naweza kupata original battery za samsung S3 na S4 hapa Dar maana kila ninazonunua nakuambiwa ni original mwisho wasiku ni fake
Befoward Japan ni Kampuni nzuri ila nakupa tahadhari usije ukatumia agents wa BEFOWARD Tanzania ni wasumbufu na awajui kazi sisi hapa tumeagiza magari yameingia bandari Dar es salaam sasa ni mwezi wa pili lakini wameshindwa kuyatoa bandarini kila siku tunaacha kazi tunashinda ofisini kufuatilia...
Anahitajika mtu wa kufanya translation vizuri kutoka kiswahili kwenda kingereza kwa bei poa. Mimi niko Arusha ila hata kama uko Dar es salaam tunaweza kukubaliana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.