Jimama Si atafute angalau wanaoendana kiumri jamani inasikitisha sana unakuta mtu yuko na limama la kumzaa dah sasa mama yake nyumbani sijui anamtazamaje akitoka ku-ku-ku-ruka nalo?
Naomba niingilie jamani
mimi naona lugha iliyotumika inakupiga chenga bana lolyzz hebu mtafasirie fesbukkkkkkkkkkkk hajaambulia chochote
Wewe hiyo jina yako hujacop + paste?ni heri mtu anayecopy vitu vya msingi vya kusaidia jamii kuliko wewe hutoi hoja ya msingi kazi kote unasema hayohayo kule...
Asanteni mkuu Lat/ Chatu dume nipo Dar - ntaufanyia kazi ushauri wenu,ila sina mtu wa karibu anayefanya biashara ya daladala, hivi kwa gharama za diesel siku hizi hesabu imefika ngapi kwa siku? kwa aliyeko kwenye indusry hii naomba asaidie nipate mwongozo.
WanaJf nimebarikiwa kununua minibus aina ya Isuzu Journey imesajiliwa,full ac,radio unaweza pia kutumia flash,ipo kwenye hali nzuri nilitaka kuifanya daladala ila naona ntasumbuana na madereva,tafadhali kama kuna ambaye ana hitaji hilo naomba anijulishe.
Hivi hizo slogan hasa ni za kuuzia sura au inatakiwa iwe na uhalisia wa maisha ya huyu mlipa kodi? na ina maana taasisi nzima hawajui kodi zetu zinatumikaje hadi watafute slogan za kununua? kweli hii inathibitisha kodi zetu ni mradi wa vigogo!
King'asti umenigusa -Ki ukweli nakubaliana nawewei ila jamani mi naona mawifi na wakwe hawatakiwi kukaa karibu kwa muda mrefu hapo heshima na upendo vitabakia kwa pande zote,binafsi nina mawifi na wakwe ambao ni understanding ila bwana nilijuta pale nilipomkaribisha wifi yangu sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.